Leo
wakati kikao cha kwanza cha mkutano wa saba wa Bunge la Jamhuri
vikiaanza hali ya vigelele na makofi vilishamili baada ya kuwasili kwa
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete bungeni hapo
Rais Mstaafu Kikwete aliwasili bungeni hapo kama mgeni kwenye kikao hicho.
Hata hivyo bunge hilo limeanza kwa kuapishwa kwa Mama Salma Kikwete mbunge wa kuteuliwa
No comments:
Write comments