Saturday 27 May 2017

MUBASHARA:KUTOKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA



Mpira bado hujatulia, katika dakika Dk 5 mpira ulimtoka golkipa Dani agey wa simba timing mbovu ila habib haji hakua makin angeipa tim yake goli la uongoz mshindi katika mchezo huu ataiwakilisha tanzania kwenye kombe la shirikisho

No comments:
Write comments