
Mzee wa upako ameyasema hayo alipotafutwa na E-News ya EATV baada ya
kuulizwa maswali juu ya kauli hiyo.“Kama unakuja kanisani kwa maana kuna
biashara, nakupa miaka hii mitatu sio utatembelea ndala utatembelea
kucha, ni mtoto mdogo sana hana akili.
"Mungu hataniwi, anafanya kufuru, kama ana mama yake amemzaa amuonye.
Mimi biblia nimesoma na hizo lugha zake nyepesi zitamtokea puani,
asithubutu kufanya kanisa kama biashara.
"Baada ya miaka hii mitatu atajua kwamba kuongoza watu sio kama kuongoza
ngo’mbe hakuna jambo gumu kama kuongoza watu wenye akili kama wewe
wenye ufahamu kama wewe, wapo watu wengi walianzisha makanisa kwanini
walifunga, ujinga hujui ni ujinga ni utoto,” alisema Mzee wa Upako.Nay
amedai kuwa kanisa lake litajengwa Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam
Kamanda
wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Simon Sirro, amesema
kuwa jeshi hilo limebaini wahalifu wengi hutumia mwanya katika muda huo
kutenda uhalifu ikiwa ni pamoja na kuwadhuru waendesha pikipiki.
Aidha,
Kamanda Sirro, amesema, kuanzia Februari 18 hadi 23 Jeshi la Polisi
Usalama Barabarani limefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi milioni 460
kutokana na makosa mbalimbali ya barabarani pamoja na kukamata pikipiki
1,280 kati ya hizo pikipiki 30 zimekamatwa kutokana na kupita katika
njia ya mabasi yaendayo haraka huku madereva 27 wakifikishwa mahakamani.
Kuhusu
suala la dawa za kulevya, Sirro aliwaambia waandishi wa habari jana
kuwa mpaka sasa limefanikiwa kukamata jumla watuhumiwa 257 pamoja na
kete za dawa za kulevya 1,526, puli 112 na misokoto ya bangi 247
kutokana na oparesheni inayoendelea.
Alisema
baadhi ya watuhumiwa bado awajafikishwa mahakamani kwani upelelezi bado
haujakamilika na mara baada ya upelelezi kukamilika watafikishwa
mahakamani kujibu tuhuma zinazowakabili
Saturday, 25 February 2017
Anthony Lusekelo amuonya nay wa mitego kufungua kanisa...adai anamchezea mungu kama ana mama amkanye
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Write comments