"Nilishasema nastaafu kuigiza, nimebakiza movie moja tu, na baada ya
hapo sitacheza tena movie, nitabaki kuwa producer" - Hayo ni maneno ya
msanii Jacob Steven maarufu JB Akiwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI
kupitia East Africa Media alipoulizwa kuhusu mipango ya kustaafu.
"Mimi nimeokoka, nampenda Yesu, nina mke mmoja, sina hawara" - JB #KIKAANGONI
No comments:
Write comments