UZINDUZI wa albamu ya saba ya mkongwe wa Muziki wa Kizazi Kipya, Judith
Wambura a.k.a Jide, iitwayo Woman utafanyika katika viwanja vya Jeshi
vilivyopo Lugalo maarufu kama Golf Ground, jijini Dar es Salaam.
Meneja wa mwanamuziki huyo, Seven Mosha, alisema jana kuwa wamechagua
eneo hilo kwa sababu ya ukubwa wa uwanja wake, sehemu nzuri ya kuegesha
magari na bila kusahau kuwa usalama wa kutosha.
No comments:
Write comments