Sunday 19 March 2017

Jukwaa la Katiba limeazimia kukutana na John Pombe Magufuli juu ya katiba mpya


Jukwaa la katiba ambalo kazi yake kubwa kuratibu maswala ya katiba,  leo limetoa msimamo wao   kwa mwenendo wa katiba iliyosimama kwa lengo la kuhamasisha iweze kusimaiwa iili ipatikane katiba mpya.
Jukwa hilo lili ratibu mkutano mkubwa watu zaidi ya 150 waliweza kuhudhuria wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa, wabunge, viongozi wa dini pamoja na asasi za kiraia. Lengo liliwa kuwakumbusha juu ya katiba ambayo imesimama. Maadhimio ambayo Jukwaa imeyaona pamoja na kuomba kukutana na Rais John Pombe Magufuli lengo likiwa kumueleza namna katiba ilivyomuhimu kabla ya uchaguzi mkuu  mwaka 2020.
Kwa nafasi aliyo nayo John Pombe Magufuli kikatiba yeye ndiye mtu pekee kwa sasa mwenye uwezo wa kuamua hatma ya kuokoa ama kuangamiza mchakato wa katiba.  Licha ya kuomba kukutana na mkuu wa nchi pia jukwaa limeazimia vyombo  wa habari kupata fursa ya kutangaza kuwezesha  kuendelea kutoa elimu  juu ya hsitoria ya mchakato wa katiba pamoja na muadhui ya katiba.
Pia imeomba waziri wa katiba  nasheria Dkt Harrson Mwakyembe aandae na kupeleka miswada ya marekebisho  katika sheria mbili zinazo ongoza  mchakato wa katiba mpya

No comments:
Write comments