Katika michuano ya wazi ya Tenisi ya BNP Paribas ya India-
Heather Watson anatarajia kuvaana na Johanna Konta hii ni baada ya
kufanikiwa kumfunga Nicole Gibbs .
Nicole Gibbs ndie alianza
kwa kufunga seti ya kwanza 6-4 kabla ya Watson kuanza kushinda
seti mbili ikiwa ni 6-2, na kushinda kwa alama katika michezo 12,
Watson na Konta watakutana katika mchezo wa Ijumaa .
Thursday 9 March 2017
Konta kuchuana na Heather Watson -BNP
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Write comments