Nay wa Mitego Ahamishiwa kwa Kamanda Sirro
Rapper
Nay wa Mitego amehamishiwa katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar
es Salaam kutoka Mvomero, Morogoro alikokuwa ameshikiliwa na polisi
kuanzia asubuhi ya Jumapili, March 26.
Taarifa hiyo imetolewa na mwanasheria maaarufu nchini, Peter Kibatala.
No comments:
Write comments