Friday 31 March 2017

Rais Magufuli amtumia salamu Spika wa Bunge



Rais Dkt @MagufuliJP amtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge, Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa CHADEMA,  Dr. Elly Marko Macha.

No comments:
Write comments