Kiongozi wa
serikali ya Scotland Nicola Sturgeon, amethibitisha kuwa ataomba ruhusa
ya kufanywa kura ya maoni ya pili kuhusu uhuru wa Scotland.
Bi Sturgeon anasema kuwa anataka kura kufanyika kati ya mwaka 2018 na 2019.Anasema ataliomba bunge la Scotland wiki ijayo kuomba amri kutoka kwa bunge la Uingereza.
Amri hiyo itahitajika kuruhusu kuwepo kwa kura ya maoni kuhusu uhuru .
Waziri mkuu Theresa May hajatamka lolote ikiwa ataruhusu kura hiyo ifanyike.
No comments:
Write comments