Watu milioni moja na nusu wameikimbia
nchi hiyo kwenda nchi jirani katika kipindi cha miaka mitatu ya
mapigano ya wenyewe kwa wenyewe na sasa ni kwa sababu ya njaa pia,
Mgogoro huu wa kisiasa umeanza kwa kasi kugawanya jeshi katika misingi
ya kikabila na maeneo ya mji wa Yei.
Wakati ,Umoja wa mataifa umeonya hatari ya kutokea mauaji ya kimbari ,Brigedia jenerali Chol Deng Chol amekanusha shutuma hizo.
''hakuna
vitendo vya mauaji au ubakaji, na kama kuna mwanajeshi anafanya hivyo
napaswa kumkamata haraka sana, tunaopambana nao ni waasi hapo ndipo
mauaji hutokea, wanaonusurika hudai kuwa raia wanauawa na wanajeshi,
lakini hatuwaui raia wetu nchini mwetu'
Wednesday 8 March 2017
UN:NCHI YA SUDAN KUSINI IKO HATARINI KUINGIA KWENYE MAUAJI YA KIMBARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Write comments