Halmashuri
mpya ya Ubungo imetoa msaada wa vitu mbalimbali zikiwamo khanga na
sabuni katika hospitali ya wilaya ya hiyo Sinza Palestina ikiwa ni
sehemu ya kuadhimisha wanawake duniani.
Msaada
wenye thamani ya zaidi ya Sh2 milioni umetolewa leo asubuhi na Meya wa
Ubungo, Boniface Jacob akiambatana na maofisa wa wilaya hiyo.
Jacob
amesema msaada huo ni jitahada mbalimbali za kuunga mkono siku wanawake
kwa ni watu muhimu wa kuendesha gurudumu la maendeleo na kwamba
halmashauri hiyo ipo katika kuboresha hospitali ya hiyo iwe ya kisasa.
Mmoja
wa kinamama Ester William aliishukuru manispaa hiyo kwa kuwajali
ikiwamo kuboresha huduma za afya katika hospitali hiyo na Mungu
awabariki
No comments:
Write comments