Monday 20 March 2017

WAPINZANI WA YANGA KOMBE LA SHIRIKISHO HAWA HAPA

CAF-TOTAL-CC-17MABINGWA WA TANZANIA BARA, Yanga, Juzi walitupwa nje ya CAF CHAMPIONZ LIGI na kuangukia CAF Kombe la Shirikisho ambako watacheza Raundi ya Mchujo itakayotoa Timu 16 za kucheza Hatua ya Makundi.

Raundi ya Mchujo ya CAF Kombe la Shirikisho inakutanisha Timu 16 zilizoshinda Raundi ya Kwanza ya Mashindano hayo na kupambanishwa na Timu 16 zilizotupwa nje ya Raundi ya Kwanza ya CAF CHAMPIONZ LIGI na mojawapo ni hii Yanga yetu.
Droo ya kupanga Mechi hizi za Raundi ya Mchujo itatangazwa na CAF hivi karibuni.
CAF KOMBE LA SHIRIKISHO
Washiriki Raundi ya Mchujo
**Timu kutoka Kombe la Shirikisho itakutanishwa na Timu kutoka CAF CHAMPIONZ LIGITimu 16 zilizoshinda Raundi ya Kwanza ya CAF Kombe la Shirikisho:
 JS Kabylie
 MC Alger
 Recreativo do Libolo
 Al-Masry
 Smouha
 IR Tanger
 MAS Fez
 Rayon Sports
 Platinum Stars
 Club Africain
 CS Sfaxien
 ZESCO United
Timu 16 zilitolewa Raundi ya Kwanza ya CAF CHAMPIONZ LIGI:
 Rail Club du Kadiogo
 CF Mounana
 CNaPS Sport
 FUS Rabat
 Rivers United
 Young Africans
 KCCA
**Mechi kuchezwa Aprili 7-9 na Marudiano ni Aprili 14-16. 
-Washindi 16 kusonga Hatua ya Makund

No comments:
Write comments