Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu Jijini Dar es salaam, imeamuchia huru
Mchungaji wa kanisa LA Ufufuo na Uzima Askofu Josephat Gwajima kufuatia
kosa la Kutoa Lugha ya Matusi Dhidi ya Muadhama Polycap Kardinal
Pengo mnamo mwaka 2015.
Chini ya Hakimu mfawidhi Cyprian Mkeha Mahakama imeamuchia
Askofu Gwajima kwa mujibu wa kifungu cha sheria ya 225 ya Mwenendo wa
Makosa ya Jinai
No comments:
Write comments