Thursday 6 April 2017

Je wajua alietengeneza virusi vya ukimwi?

Ameua maelfu na maelfu ya watu, alitengeneza ugonjwa huu mnamo miaka ya 1970, na sasa daktari huyu kwa jina Robert Gallo ametoka adharani na kusema amepata dawa ya kutibu ugonjwa huo.

Robert Gallo anaelezwa kwamba alihusika na vita vya kibaiolojia kwa lengo la kuwaondosha watu weusi na mashoga duniani katika miaka ya 1970..


Huu ndio Muonekano wa Kirusi cha Ukimwi..

No comments:
Write comments