Spika
wa Bunge la Jamuhuri Job Ndugai amemtaka Mbunge wa Kawe Halima Mdee
kuripoti katika Kamati ya Maadili Kinga na Madaraka ya Bunge ili kujibu
tuhuma za utovu wa nidhamu wakati uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika
Mashariki ukiendelea.
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee
Spika wa Bunge la Jamuhuri Job Ndugai amemtaka Mbunge wa
Kawe Halima Mdee kuripoti katika Kamati ya Maadili Kinga na Madaraka ya
Bunge ili kujibu tuhuma za utovu wa nidhamu wakati uchaguzi wa wabunge
wa Bunge la Afrika Mashariki ukiendelea.Spika Ndugai amesema hadi ifikapo kesho majira ya saa tano Mbunge huyo anatakiwa awe tayari ameripoti katika kamati hiyo.
Ndugai ametoa agizo hilo bungeni Mjini Dodoma baada ya kumalizika kwa kipindi cha maswali na majibu
No comments:
Write comments