Hayo yamesemwa na makamu wa pili wa rais wa Zanzibar balozi Self Ally Iddy katika uzinduzi wa mbio za mwenge kitaifa mkoani katavi yenye kauli mbiu ya mwaka huu shiriki kukuza uchumi wa viwanda kwa maendeleo ya nchi yetu.
Kwa upande wao waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera, bunge , vijana, ajira, bunge na walemavu Jenista Mhagama na Waziri wa kazi, uwezeshashi , vijana, wazee, wanawake na watoto Zanzibar Maudlin Cyrus Castico amese.
Mkuu wa mkoa wa katavi meja jenerali mstaafu Raphael Muhuga amesema kuwa mwenge wa uhuru utazindua miradi mbalimbali katika mkoa wa katavi.
No comments:
Write comments