Monday 24 July 2017

PLUJIM AFUNGA UKURASA KWA KUMNASA KINDA WAZAMANI WASIMBA,YANGA NA TAIFA STARS



Baada ya kumsajili Kiggi Makasi, Singida United rasmi imefunga usajili na kifuatacho ndiyo kikosi chake kamili.



Tulishamaliza kufunga Ukurasa wa wachezaji wanje(7players). 
1.Elisha Muroiwa(Zimbabwe)
2.Twafadzwa Kutinyu (Zimbabwe)
3.Simbarashe Nhivi (Zimbabwe)
4.Wisdom Mtasa (Zimbabwe)
5.Shafik Batambuze(Uganda)
6.Dany Usengimana( Rwanda)
7.Michel Rusheshangoga(Rwanda)

Leo tumemaliza kusajili wachezaji wa ndani(9 players).
1.Atupele Green (Jk Ruvu)
2.Miraj Adam (Africa Lyion)
3.Kenny Ally (Mbeya City)
4.Roland Msonjo(Mshikamano Fc)
5.Pastory Athans (Simba)
7.Deus Kaseke(Yanga)
8.Ally Mustapha (Yanga)
9.Kigi Makasi (Ndanda Fc). 

Kwa taarifa yako, Kwa sasa Singida United ina jumla ya wachezaji 25.
Wachezaji 16 wamesajiliwa kutoka timu mbalimbali.
Wachezaji 9 ni wale waliosalia baada ya timu kupanda kucheza Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2017/2018.


Tunawashukuru vilabu mbalimbali ambao tulifikia makubaliano nao na wamewachukua baadhi ya wachezaji wetu walioipandisha timu, na baadhi ya wachezaji waliomba kuondoka kwa ridhaa yao

No comments:
Write comments