Saturday 25 March 2017

Waliopitishwa na CHADEMA kuwania ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki



Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tumaini Makene, amethibitisha kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu majina yaliyopitishwa na kamati kuu ya chama hicho kuwa wagombea ubunge uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki.
Wagombea hao ni pamoja na Mbunge wa zamani Ezekia Wenje na Lawrence Masha aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani enzi za utawala wa Dk. Kikwete.


No comments:
Write comments