Spika
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai amemtaka
Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani bungeni ambaye pia ni Mbunge wa
jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro Freeman Mbowe kuripoti kamati ya maadili
ya bunge
Spika Ndugai ameyasema hayo mara baada ya kipindi cha maswali na majibu bungeni ambapo amesema Mbowe anatakiwa kuripoti mbele ya kamati ya maadili ya bunge kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya lugha mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa wabunge wa bunge la Afrika mashariki uliofanyika April 4 bungeni mjini Dodoma.
Sambamba na hilo spika pia amesema zoezi la kuwaita viongozi kwenye kamati ya maadili litakua endelevu wakiwemo wabunge ili kulinda heshima ya viongozi wote kwa upande wa bunge na serikal
No comments:
Write comments