Saturday 6 May 2017

MUBASHARA KUTOKA UWANJA WA TAIFA YANGA DHIDI YA PRISONS




Dk 19, krosi nzuri ya Ismail lakini Hangaya anajichanganya na mpira unakuwa goal kick
Dk 14 sasa, zaidi mpira unachezwa katikati ya uwanja kila timu ikiwa makini katika ulinzi
Dk 8, Yanga wanapata kona ya tatu baada ya Ismail kulala na kuondosha hatari, inachongwa na Kamusoko hapa, almanusura lakini Prisons wanaokoa hapa
Dk 7, Prisons wanatoa tena na inakuwa kona ya pili ya Yanga, Mwashiuya anaichonga lakini Msuva anajigonga na Prisons wanaokoa
Dk 4, Chirwa akiwa mbali anaachia mkwaju hapa, goal kick
Dk 3, Selemani wa Prisons anaachia mkwaju mkali kabisa hapa, goal kick
Dk 2, Benjamin Asukile analala na kuokoa, inakuwa konaaa ya kwana kwenda lango la Prisons, inachongwa na Mwashiuya na Mwasukile anaondosha tena
Dk 1, Prisons wanaanza kwa kasi lakini Yanga wanakuwa makini, wanaokoa na kwenda kwa kasi langoni mwao lakini Prisons wanaokoa pia

MWAMUZI: Selemani Kinugani-Morogoro
REKODI
Leo Yanga na Prisons zinakutana mara ya 12
Yanga imeshinda 7
Sare 4
Prisons imepoteza

No comments:
Write comments