Saturday 27 January 2018

MSANII WA BONGO FLAVER SHABIKI WAKUTUPWA WA YANGA AACHIA KICHUPA BAADA YA WANAJANGWANI HAO KUILAZA AZAM--JIONEE MWENYEWE


Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tz Bara Yanga leo wameilaza Azam 2-1 katika uwanja wa chamanzi Azam walikua wakwanza kujipatia goli kupitia kwa iddi dakika ya 3

yanga walisawazisha dk ya 30 kupitia kwa chirwa,kisha gadiel michae akaipatia timu yake ya yanga goli la ushindi kwa shuti kali.

bofya hapo chini kutizama kichupa cha msanii shabiki wa yanga alichokiachia baada ya wanajangwani hao kuwalaza wanalambalamba

https://www.youtube.com/watch?v=gkTNOK2I-ig

TAKWIMU ZAO KABLA YA LEO...
Zimekutana 31
Yanga shinda 12
Azam shinda 11
Sare 8

Yanga ilifunga mabao 41
Azam FC ilifunga mabao 40

No comments:
Write comments